Pendo la Halineshi
De (autor): Ahmed E. Ndalu
Waswahili husema fani ya ujinga mwingi na elimu ni taa, gizani huzagaa. Je, iwapo mtu hajapata elimu ya vitabu wala ya maisha huwa mtu wa sampuli gani? Basi zamani za kale kulikuwa na ghulamu jina lake Fikirini. Elimu ya darasani hakuiona wala kuihisi. Alipata mke, Bi Halineshi, ingawa hakujua kumtunza kutokana na ujeuri na kiburi. Alimpa mkewe talaka bila kujua hamadi kibindoni silaha iliyo mkononi. Kwa talaka hiyo Bi Halineshi alimpata mchumba akamuoa kwani riziki haigombi. Je, Fikirini ataishi maisha gani bila elimu wala mke?
-10%
transport gratuit
PRP: 140.45 Lei
Acesta este Pretul Recomandat de Producator. Pretul de vanzare al produsului este afisat mai jos.
126.40Lei
126.40Lei
140.45 LeiPrimesti 126 puncte
Primesti puncte de fidelitate dupa fiecare comanda! 100 puncte de fidelitate reprezinta 1 leu. Foloseste-le la viitoarele achizitii!
Livrare in 2-4 saptamani
Pentru a putea comanda rapid este nevoie sa introduceti numarul dvs de telefon in formatul 0xxxxxxxxx (10 cifre).Un operator Libris.ro va suna si va cere telefonic restul datelor necesare.
Descrierea produsului
Waswahili husema fani ya ujinga mwingi na elimu ni taa, gizani huzagaa. Je, iwapo mtu hajapata elimu ya vitabu wala ya maisha huwa mtu wa sampuli gani? Basi zamani za kale kulikuwa na ghulamu jina lake Fikirini. Elimu ya darasani hakuiona wala kuihisi. Alipata mke, Bi Halineshi, ingawa hakujua kumtunza kutokana na ujeuri na kiburi. Alimpa mkewe talaka bila kujua hamadi kibindoni silaha iliyo mkononi. Kwa talaka hiyo Bi Halineshi alimpata mchumba akamuoa kwani riziki haigombi. Je, Fikirini ataishi maisha gani bila elimu wala mke?
Detaliile produsului
De pe acelasi raft
Parerea ta e inspiratie pentru comunitatea Libris!